Pages

Monday, April 14, 2014

Un hide files that hiden from removable devices


Maana yake ni kwamba mafaili hayo yapo humohumo kwenye flash disk lakini yamekuwa hidden usiyaone..Sasa kama unataka kuyaona tena(kuya-unhide) fuata maelekezo yafuatayo:


1.click startbutton iliyopo kwenye desktop, then click run, halafu andika neno cmd au command,baada ya hapo press enter..{black screen itafunguka hii kitaalamu huitwa DOS au Disk Operating System)

Hapo kwenye black screen andika Drive letter ya Flash disk yako kama inavyosomeka kwenye computer kabla hujaifungua au baada yaku-click mycomputer{mfano flash yangu inasomeka hivi (I:)MEEK },

2.Ntaandika F: halafu nita-press enter { NOTEHapo mbele ya I kuna full colon(:) na sio semi colon(;)}

3.Andika maneno attrib -r -a -s -h /s /d halafu press enter

4.Baada ya hapo nenda kaifungue tena flash yako mafaili yote ambayo yalikuwa hidden yataonekana!!!!

0 comments:

Post a Comment